Msaada wa kisheria, mtalaka wangu hataki nione watoto

Msaada wa kisheria, mtalaka wangu hataki nione watoto

Ngadupa

Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
11
Reaction score
5
Habari wana Jf

Naomba kusaidiwa kisheria.

Niliachana na mke wangu miaka miwili iliyopita, baada ya talaka aliamua kwenda mahamakani kudai mgawanyo wa mali za pamoja, na matunzo ya watoto.
Mahakama ikatoa hukumu ambayo binafsi sikuridhika nayo hivyo nikaamua kukata rufaa katika mahakama ya wilaya.
Mahakama ya wilaya pia sikuridhika na maamuzi ya rufaa hivyo nikakata rufaa mahakama ya kuu.

Sasa tangu nilivyoanza kukata rufaa ame amenizuia kuona watoto, wala hataki niwahudumie kwa lolote na mbaya zaidi anawapandikiza chuki watoto dhidi yangu. Sina cha kufanya kwani mahakama ilitoa uamuzi watoto akae nao na mimi nitoe matumizi ya kila mwezi lkn ndio hivyo ananipiga vita.

Je ni hatua gani za kisheria nichukue ili nipate access na watoto wakati huu rufaa inaendelea kwani nimewamiss wanangu na kesi inachukua muda kuisha
 
Pole sana mkuu kwa hiyo changamoto.
 
Habari wana Jf

Naomba kusaidiwa kisheria.

Niliachana na mke wangu miaka miwili iliyopita, baada ya talaka aliamua kwenda mahamakani kudai mgawanyo wa mali za pamoja, na matunzo ya watoto.
Mahakama ikatoa hukumu ambayo binafsi sikuridhika nayo hivyo nikaamua kukata rufaa katika mahakama ya wilaya.
Mahakama ya wilaya pia sikuridhika na maamuzi ya rufaa hivyo nikakata rufaa mahakama ya kuu.

Sasa tangu nilivyoanza kukata rufaa ame amenizuia kuona watoto, wala hataki niwahudumie kwa lolote na mbaya zaidi anawapandikiza chuki watoto dhidi yangu. Sina cha kufanya kwani mahakama ilitoa uamuzi watoto akae nao na mimi nitoe matumizi ya kila mwezi lkn ndio hivyo ananipiga vita.

Je ni hatua gani za kisheria nichukue ili nipate access na watoto wakati huu rufaa inaendelea kwani nimewamiss wanangu na kesi inachukua muda kuisha
Kipindi unakata rufaa ,ulitakiwa uombe maombi maalum ya castodian of children ungepewa

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Achilia mbali rufaa uliyonayo, nenda mahakama ya wilaya sehemu uliyoko alaf uulizie juvenal court, watakwambia wao iko wapi au iko hapo then, omba maombi ya right to access ili uwe unawaona. ni simple tu na maombi haya hayahusiani na rufaa zako, nenda watakusaidia ata makarani hao, mie nimeshafanya mara elf sijui so najua.
 
Achilia mbali rufaa uliyonayo, nenda mahakama ya wilaya sehemu uliyoko alaf uulizie juvenal court, watakwambia wao iko wapi au iko hapo then, omba maombi ya right to access ili uwe unawaona. ni simple tu na maombi haya hayahusiani na rufaa zako, nenda watakusaidia ata makarani hao, mie nimeshafanya mara elf sijui so najua.
Mkuu Asante kwa ushauri 🙏
 
Back
Top Bottom