katoto kapole
New Member
- Nov 4, 2019
- 3
- 1
Cc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ndio ni mimi hapaKwani wewe ndiye muhusika?
Tunza ujumbe huo for futere reference, ikitokea mtoto wako akapatwa na janga lenye viashiria vya hujuma, huyo jamaa atakua miongoni mwa watakaosaidia upelelezi katika hatua za mwanzo.
Huyu kapole ameolewa akiwa na mtoto sasa njemba haimpendi Huyo mtoto inaona bora afe inaamua kumminya tumbo na kumkabaKatoto kapole. Nakushauri endelea kuwa kapole. Hapo kaa mbali na huyo mtu ikiwezekana. Muepuke kabisa ksbb na wewe utakuwa umejiepusha na mambo mengi. Mambo ya kisheria nafikiri utazungushwa tu. Mwisho upoteze hela bila sababu. Isitoshe unaweza usiwe hata na ushahidi wa moja kwa moja kwamba mtoto wako alimkaba. Na hiyo sms mtoto wako bora afe,ni neno “mtoto wako bora afe” si utekelezaji. MUHIMU njia ya kwanza nzuri kwako ni kukaa mbali na huyo mtu ili kujiepushia na mengine. Kama mnaishi nyumba moja,jitahidi uhame haraka
Ahaaa! aisee inaweza kuwa kweli mkuu. Umecheza mbali mkuu. Ndio maana huyu Kapole ana hasira na jamaa? Anatafuta njia ya kumu-arest?. Maana hakuna hasira kali zaidi ya za kwenye ndoa.Huyu kapole ameolewa akiwa na mtoto sasa njemba haimpendi Huyo mtoto inaona bora afe inaamua kumminya tumbo na kumkaba
Huyu kapole ameolewa akiwa na mtoto sasa njemba haimpendi Huyo mtoto inaona bora afe inaamua kumminya tumbo na kumkaba
Sasa huyo mtoto si ni wa kwako?Jamani watu jf mna mambo, hata sio hivyo [emoji2][emoji2]