Msaada wa Kisheria nataka kusajiri Kampuni

Msaada wa Kisheria nataka kusajiri Kampuni

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,734
Waungwana japo tunasimazi lakini lazima maisha yaendelee, nataka kusajiri kampuni hii ni pampja na Kutayarisha company profile, MoU na megine yanayohusiana na haya, mwenye utaalam huu tafadhari sana tuwasiliane
 
Kuna mtu umu anafanya io mambo, mcheki uzi chini... Kweny matangazo
 
Waungwana japo tunasimazi lakini lazima maisha yaendelee, nataka kusajiri kampuni hii ni pampja na Kutayarisha company profile, MoU na megine yanayohusiana na haya, mwenye utaalam huu tafadhari sana tuwasiliane
Uko wapi ?
 
Back
Top Bottom