Zlatanmasoud
Member
- Dec 19, 2010
- 71
- 16
Wadau naomba mwenye ushauri wa kisheria atusaidie, ndugu zangu wawili mmoja mwanamke na mmoja mwanamme, wanasoma shule tofauti wamefutiwa matokeo.
Hapa nyumbani ni majonzi matupu. Yaani bora wangeandilkiwa Div 0 kuliko hivi. Mwenye msaada nini cha kufanya atusaidie au kama imekula kwetu tujue pia. Ahsanteni.
Hapa nyumbani ni majonzi matupu. Yaani bora wangeandilkiwa Div 0 kuliko hivi. Mwenye msaada nini cha kufanya atusaidie au kama imekula kwetu tujue pia. Ahsanteni.