kb52
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 336
- 109
Nakumbuka ilikua 2008 july. Nilipomaliza masomo yangu ya chuo na kwenda nyumbani kusalimu wazazi. Nikiwa hapo nyumbani..Mama yangu na wanafamilia kwa ujumla walikua wakilalamika juu ya suala ya maji ya bomba...ambayo yalikua hawayapati licha ya kila mwezi kuyalipia bill. Na hata yalivyokua yakianza kutoka...watumishi wa idara ya maji wa wilaya walikua wakijakuyafunga na kutuahidi watayafungulia siku ya pili. Tatizo lilidumu kwa miezi karibu saba.
Basi,kuna siku maji yalianza kutoka na ghafla wale watumishi kama kawaida yao wakaja hapo nyumbani kwa lengo la kuyakata. Ndipo nikawauliza kwann walikua wakiyakata...wakajibu:wanakata ili yaende kwa presha kwa mheshimiwa diwani ambaye anaishi jirani na kwetu. Kwa kweli sikuwaelewa na kwa kuwa walijitambulisha kua wao ni vibarua...nikawaomba wampigie boss wao ili atupe jibu kamili why tunakatiwa maji na huku bill tunalipa kila mwezi.
Boss hakua mbali na hapo...alifika na alikua kalewa sana....akatuhoji kwa ukali...hawa ni akina nani wanaokataa kukata maji. Wanatusumbua na vibill vyao vya sh.7000 wakati wengine wanalipa sh.20000. Kisha akachukua spanner na kuyafunga kwa nguvu.
Kesho yake...akajakuyafungua..lakini akauliza madada zangu kama nilikuepo nyumbani. Wakamwambia nipo. Akaondoka.
Majira ya saa 5 akaja na mapolisi wawili...wakasukuma geti na kunikuta uwani nafua...yule mtumishi wa idara ya maji akawaambia wanikamate. Wale polisi wakanifuata wakaniambia natakiwa kituo cha polisi. Nikawauliza kwa kosa gani....wakasema nitajua hukohuko....then..kwakua nilikua nimevaa kibukta tu niliwaomba niingie ndani kubadili nguo....wakakataa...wakasema niende ivo ivo kifua wazi. Mara ghafla wakaanza kunipiga...wakanitoa nje ya geti...kulikua na wenzao wanapita. ...wakashuka kwenye gari wakaanza kunipiga na kuniweka kwenye teksi iliyokua imekodishwa na yule mtumishi wa idara ya maji.
Niliendeshwa huku nikizungushwa mikono nyuma..huku nikivutwa korodan zangu. Na mara baada ya kufika kituo cha polisi...niliingizwa kwenye chumba cha mateso na kupigwa mpaka kuzimia. Nilizinduka badae...mwili wote ukiwa na damu...nimejikojolea na kujinyea...nilikua nikitoka damu sehemu zote...sikuweza hata kunyanyua mikono yangu wala kusogeza miguu.
Nakumbuka nilipelekwa polisi majira ya saa 5 asubuhi...but..nilipata fahamu saa tatu usiku. Ambapo nililazimishwa kusign malezo ambayo si yangu. Ndugu walifika kunipa chakula but ilishindikana....polis waliwagomea.
Kesho yake hali ilikua mbaya sana...nikapelekwa hospital kwa baskeli na polisi ambaye mara baada ya matibabu aliondoka na dawa nilizopewa na dakiktari. Kisha nikapelekwa jela siku ya ijumaa saa 10 jion. Na nilikaa huko mpaka jumatatu ambapo nilipelekwa mahakamani kusomewa mashtaka yangu....
Mashtaka yalikua ivi;-
1.(a) Nimemzuia mtumishi wa idara ya maji kufanya kazi yake
(b) Nimempiga na kumjeruhi mtumishi huyo
2. (a) Nimewazuia polisi kufanya kazi yao
(b) Nimewapiga na kuwajeruhi polisi
Kumbe wakati napelekwa kituo cha polisi...Mama yangu alipigiwa simu aende nyumbani kuniangalia. Na alivyofika akamkuta yule mtumishi wa idara ya maji na kuanza kumhoji why alileta mapolisi nyumbani na wakati yeye wanafanya kazi sehemu moja?..kwann wasingeyamaliza huko ofisin kwao....ndipo Mama yangu akasukumwa mara tatu na kupata hitirafu katika uti wa mgongo....alifanyiwa operation ya mgongo na kuwekewa pingili za prastic na chuma mwaka juz. Kisha yule jamaa alivyoona mama yangu anashindwa kuamka chini. ..akakimbilia polisi kumshtaki. So it was like ...the same day nasomewa mashtaka yangu mahakamani na mama yangu alikua akisomewa pia...kwamba....kampiga na kumdhuru huyo mtumishi wa maji. ...na kumzuia kufanya kazi yake.
Kesi ziliendelea...wote mimi na mama yangu tupata dhamana. But kesi ya Mama haikuchukua muda ikafutwa kwasababu mshataka alikua hatokei mahakamani. Yangu iliendelea toka 2008 hadi July 2012. Ikaisha na nilishinda kesi.
Nilijaribu kuandika barua kuanzia ngazi za chini kabisa hadi makao makuu ya polisi kitengo cha malalamiko bila mafanikio..
Niliandika pia kwa tume ya haki za binadamu b
Basi,kuna siku maji yalianza kutoka na ghafla wale watumishi kama kawaida yao wakaja hapo nyumbani kwa lengo la kuyakata. Ndipo nikawauliza kwann walikua wakiyakata...wakajibu:wanakata ili yaende kwa presha kwa mheshimiwa diwani ambaye anaishi jirani na kwetu. Kwa kweli sikuwaelewa na kwa kuwa walijitambulisha kua wao ni vibarua...nikawaomba wampigie boss wao ili atupe jibu kamili why tunakatiwa maji na huku bill tunalipa kila mwezi.
Boss hakua mbali na hapo...alifika na alikua kalewa sana....akatuhoji kwa ukali...hawa ni akina nani wanaokataa kukata maji. Wanatusumbua na vibill vyao vya sh.7000 wakati wengine wanalipa sh.20000. Kisha akachukua spanner na kuyafunga kwa nguvu.
Kesho yake...akajakuyafungua..lakini akauliza madada zangu kama nilikuepo nyumbani. Wakamwambia nipo. Akaondoka.
Majira ya saa 5 akaja na mapolisi wawili...wakasukuma geti na kunikuta uwani nafua...yule mtumishi wa idara ya maji akawaambia wanikamate. Wale polisi wakanifuata wakaniambia natakiwa kituo cha polisi. Nikawauliza kwa kosa gani....wakasema nitajua hukohuko....then..kwakua nilikua nimevaa kibukta tu niliwaomba niingie ndani kubadili nguo....wakakataa...wakasema niende ivo ivo kifua wazi. Mara ghafla wakaanza kunipiga...wakanitoa nje ya geti...kulikua na wenzao wanapita. ...wakashuka kwenye gari wakaanza kunipiga na kuniweka kwenye teksi iliyokua imekodishwa na yule mtumishi wa idara ya maji.
Niliendeshwa huku nikizungushwa mikono nyuma..huku nikivutwa korodan zangu. Na mara baada ya kufika kituo cha polisi...niliingizwa kwenye chumba cha mateso na kupigwa mpaka kuzimia. Nilizinduka badae...mwili wote ukiwa na damu...nimejikojolea na kujinyea...nilikua nikitoka damu sehemu zote...sikuweza hata kunyanyua mikono yangu wala kusogeza miguu.
Nakumbuka nilipelekwa polisi majira ya saa 5 asubuhi...but..nilipata fahamu saa tatu usiku. Ambapo nililazimishwa kusign malezo ambayo si yangu. Ndugu walifika kunipa chakula but ilishindikana....polis waliwagomea.
Kesho yake hali ilikua mbaya sana...nikapelekwa hospital kwa baskeli na polisi ambaye mara baada ya matibabu aliondoka na dawa nilizopewa na dakiktari. Kisha nikapelekwa jela siku ya ijumaa saa 10 jion. Na nilikaa huko mpaka jumatatu ambapo nilipelekwa mahakamani kusomewa mashtaka yangu....
Mashtaka yalikua ivi;-
1.(a) Nimemzuia mtumishi wa idara ya maji kufanya kazi yake
(b) Nimempiga na kumjeruhi mtumishi huyo
2. (a) Nimewazuia polisi kufanya kazi yao
(b) Nimewapiga na kuwajeruhi polisi
Kumbe wakati napelekwa kituo cha polisi...Mama yangu alipigiwa simu aende nyumbani kuniangalia. Na alivyofika akamkuta yule mtumishi wa idara ya maji na kuanza kumhoji why alileta mapolisi nyumbani na wakati yeye wanafanya kazi sehemu moja?..kwann wasingeyamaliza huko ofisin kwao....ndipo Mama yangu akasukumwa mara tatu na kupata hitirafu katika uti wa mgongo....alifanyiwa operation ya mgongo na kuwekewa pingili za prastic na chuma mwaka juz. Kisha yule jamaa alivyoona mama yangu anashindwa kuamka chini. ..akakimbilia polisi kumshtaki. So it was like ...the same day nasomewa mashtaka yangu mahakamani na mama yangu alikua akisomewa pia...kwamba....kampiga na kumdhuru huyo mtumishi wa maji. ...na kumzuia kufanya kazi yake.
Kesi ziliendelea...wote mimi na mama yangu tupata dhamana. But kesi ya Mama haikuchukua muda ikafutwa kwasababu mshataka alikua hatokei mahakamani. Yangu iliendelea toka 2008 hadi July 2012. Ikaisha na nilishinda kesi.
Nilijaribu kuandika barua kuanzia ngazi za chini kabisa hadi makao makuu ya polisi kitengo cha malalamiko bila mafanikio..
Niliandika pia kwa tume ya haki za binadamu b