ExpireWanajukwaa naomben msaada wa kisheria nimeuziwa biadhaa iliyo kwisha expay njia zp ninatakiwa nizifate kisheria
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Nimeuziwa kwenye duka kubwa tu la dawaBidhaa umeuziwa na nani?
Elimu yangu ya kawaida sana kaka inayoweza kunisaidia katika uwendeshaji wa Maisha yanguTuanze kwanza na elimu yako..??
Kaka iyo inatokea kwa binadamu wa kawaidaKwasababu haiwezekani mtu mzima mwenye kujitambua,, inunue bidhaa na usiingalie ama kuikagua kabla ya kuondoka nayo
Kusoma ninajua nilipitiwa tu'nilighafilika'ila nimekuja kuikagua baada ya kuwa nimekwisha itumiaHahaha sasa kama kusoma hujui iyo kesi si utapigwa upara tu..empty set
Nimeuziwa na wafanyakaz wa duka moja tu kubwa mkoanBidhaa umeuziwa na nani?
Kama hujui kuliandika hilo neno kwa usahihi basi unastahili kabisa kuuziwa hiyo bidhaaWanajukwaa naomben msaada wa kisheria nimeuziwa biadhaa iliyo kwisha expay njia zp ninatakiwa nizifate kisheria
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app