fungafunga
Senior Member
- Mar 30, 2010
- 116
- 155
wana JF wenzangu. habarini.
niliachishwa kazi na muajiri wangu kampuni binafsi 3yrs ago. hakuwa akiniwekea chochote NSSF japo alikuwa akinikata 10% ya mshahara wangu mda wote nikiwa ktk ajira. nimefuatilia kudai hakiyangu mpaka nauli imeisha. NSSF wanasema hawawezi kunilipa kwakuwa hakuna chochote kilichopelekwa kwao.
tafadhali naombeni ushauri ndugu zangu. nini nifanye na wapi nianzie.
naomba kuwasilisha.
niliachishwa kazi na muajiri wangu kampuni binafsi 3yrs ago. hakuwa akiniwekea chochote NSSF japo alikuwa akinikata 10% ya mshahara wangu mda wote nikiwa ktk ajira. nimefuatilia kudai hakiyangu mpaka nauli imeisha. NSSF wanasema hawawezi kunilipa kwakuwa hakuna chochote kilichopelekwa kwao.
tafadhali naombeni ushauri ndugu zangu. nini nifanye na wapi nianzie.
naomba kuwasilisha.