Msaada wa kisheria niweze pata mafao yangu toka kwa muajiri

Msaada wa kisheria niweze pata mafao yangu toka kwa muajiri

fungafunga

Senior Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
116
Reaction score
155
wana JF wenzangu. habarini.
niliachishwa kazi na muajiri wangu kampuni binafsi 3yrs ago. hakuwa akiniwekea chochote NSSF japo alikuwa akinikata 10% ya mshahara wangu mda wote nikiwa ktk ajira. nimefuatilia kudai hakiyangu mpaka nauli imeisha. NSSF wanasema hawawezi kunilipa kwakuwa hakuna chochote kilichopelekwa kwao.
tafadhali naombeni ushauri ndugu zangu. nini nifanye na wapi nianzie.
naomba kuwasilisha.
 
wana JF wenzangu. habarini.
niliachishwa kazi na muajiri wangu kampuni binafsi 3yrs ago. hakuwa akiniwekea chochote NSSF japo alikuwa akinikata 10% ya mshahara wangu mda wote nikiwa ktk ajira. nimefuatilia kudai hakiyangu mpaka nauli imeisha. NSSF wanasema hawawezi kunilipa kwakuwa hakuna chochote kilichopelekwa kwao.
tafadhali naombeni ushauri ndugu zangu. nini nifanye na wapi nianzie.

Ndugu yangu pole sana. hapa kuna sheria inaweza kukubana. Time limitation might not be friendly to you. Haya mambo ya civil litigations yana time limit. Nipe muda nitakufahamisha. I am not a lawyer, but could give some hint. Muda umepita mrefu, atakuwekea preliminary objection (PO) basing on time limitation.
 
Kutokukuwekea michango yako ni kosa la jinai. Na Limitation does not run against the republic, hawezi kukwepa kwa hilo, mripoti kwenye vyombo vya sheria utapata haki yako.
 
Back
Top Bottom