LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Heshima mbele wakuu, baada ya kufanya biashara zangu kwa muda mrefu kama sole proprietor, sasa ninafikiria kusajili bashara zangu as a limited company.
1. Nisubiri hadi mtoto wangu afikishe miaka 18 ndio nikasajili as a limited company kwa kumpa hisa kadhaa?.
2. Au naweza kumuandikisha kama mmoja kati ya wanahisa wa kampuni ilihali hajafikisha miaka kumi na nane?
1. Nisubiri hadi mtoto wangu afikishe miaka 18 ndio nikasajili as a limited company kwa kumpa hisa kadhaa?.
2. Au naweza kumuandikisha kama mmoja kati ya wanahisa wa kampuni ilihali hajafikisha miaka kumi na nane?