Msaada wa kisheria please.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Heshima mbele wakuu, baada ya kufanya biashara zangu kwa muda mrefu kama sole proprietor, sasa ninafikiria kusajili bashara zangu as a limited company.
1. Nisubiri hadi mtoto wangu afikishe miaka 18 ndio nikasajili as a limited company kwa kumpa hisa kadhaa?.



2. Au naweza kumuandikisha kama mmoja kati ya wanahisa wa kampuni ilihali hajafikisha miaka kumi na nane?
 
Sijui ni kwanini umeweka hicho kipande cha Mind u, nadhani kimeharibu bandiko lako lote mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…