mkatangara
Member
- Feb 28, 2012
- 37
- 5
Mimi nina mtu nimempangisha nyumba yangu. mkoa tofauti ninapoishi,
Mkataba nimeuatach na email hii,
Kabla ya mkataba huu kwisha nilimtaarifu kwa njia ya simu mpangaji wangu kwamba nitapangisha kodi ya nyumba.
itakuwa 400,000 kwa mwezi.
Mpangaji wangu akiniambia tutaongea, cha kushangaza kabla hatujaongea huyo mpangaji amedeposit fedha kwenye akaunti yangu (kodi ya zamani), akanitaarifu, nikamwambia mbona hajatoa kodi niliyomwambia, akanijibu hawezi kutoa kiasi nilichomwambia ni kikubwa sana,na kuna nymba nyingi zenye bei ya chini kuliko yangu na nzuri kulipo yangu.
Hadi sasa tupo kwenye mgogoro mimi na yeye, mkataba wake umeisha zaidi ya week sasa,
ananiambia nimpe notice,(notice ya nini wakati nilishamwambia kodi itaongezeka?) kuna sheria yeyote inayohusiana na ishu kama hii?
nimemjibu simpi notice, kwenye mkataba tuliosaini hakuna notisi ya namna hiyo.
Nimemuambia ahame haraka aniachie nyumba yangu kama hana kodi ninayotaka mimi.
Nyumba yangu hiyo ipo Dodoma mjini ina vyumba 4. (kimoja masters),public toilet and public bath both independent, stoor, jiko, sebule na dinning, ipo ndani ya fense.
Nimempandishia kodi sasa nataka anilipe laki 4 kwa mwezi.
Anavyonizingua na mpango wa kuomba ruhusa ofisini niende nikamtoe kwa nguvu.
Utaratibu unakuwaje?
Mkataba nimeuatach na email hii,
Kabla ya mkataba huu kwisha nilimtaarifu kwa njia ya simu mpangaji wangu kwamba nitapangisha kodi ya nyumba.
itakuwa 400,000 kwa mwezi.
Mpangaji wangu akiniambia tutaongea, cha kushangaza kabla hatujaongea huyo mpangaji amedeposit fedha kwenye akaunti yangu (kodi ya zamani), akanitaarifu, nikamwambia mbona hajatoa kodi niliyomwambia, akanijibu hawezi kutoa kiasi nilichomwambia ni kikubwa sana,na kuna nymba nyingi zenye bei ya chini kuliko yangu na nzuri kulipo yangu.
Hadi sasa tupo kwenye mgogoro mimi na yeye, mkataba wake umeisha zaidi ya week sasa,
ananiambia nimpe notice,(notice ya nini wakati nilishamwambia kodi itaongezeka?) kuna sheria yeyote inayohusiana na ishu kama hii?
nimemjibu simpi notice, kwenye mkataba tuliosaini hakuna notisi ya namna hiyo.
Nimemuambia ahame haraka aniachie nyumba yangu kama hana kodi ninayotaka mimi.
Nyumba yangu hiyo ipo Dodoma mjini ina vyumba 4. (kimoja masters),public toilet and public bath both independent, stoor, jiko, sebule na dinning, ipo ndani ya fense.
Nimempandishia kodi sasa nataka anilipe laki 4 kwa mwezi.
Anavyonizingua na mpango wa kuomba ruhusa ofisini niende nikamtoe kwa nguvu.
Utaratibu unakuwaje?