Wanajf naomba mnishauri kisheria jamani!Mimi ni mwajiriwa katika halmashauri nimeona matangazo ya kazi katika chuo kikuu cha umma ni taratibu gani za kisheria ninapaswa kuzifuata kabla ya kuomba kazi?Kwa sababu huku halmashauri niko serikalini na kule chuoni ni serikalini pia.Naomba ushauri wenu.