Hello JF! mm ni mwanafunzi wa chuo, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanaume flan but kwa bahati mbaya tuliachana yapata mwezi sasa, nimepata mimba ambayo sikuitarajia na nilipomwambia mpenzi wangu ameikataa kwa madai eti hayuko tayari kubeba majukumu ya kulea. naomba msaada wenu kisheria nifanyeje?