Tulia uzae umlee mwanao dada, utapoteza mda na raslimali fedha za kumlelea mwanao tu!
Hello JF! mm ni mwanafunzi wa chuo, nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanaume flan but kwa bahati mbaya tuliachana yapata mwezi sasa, nimepata mimba ambayo sikuitarajia na nilipomwambia mpenzi wangu ameikataa kwa madai eti hayuko tayari kubeba majukumu ya kulea. naomba msaada wenu kisheria nifanyeje?
dada achana na uyo mweu ww lea haku utakalo shindwa bhana achana na sheria atajirudi tuuuu
hawa wageni ni kiboko kwa kutunga singo zinazohit kitaa cha JF..labuda hiyo mimba iliingia kupitia mtandao pendwa a.k.a kameruni maana hilo nalo linawezekana!Kwanza hii id ni ya jan 18 2013 post ya kwanza ulisema una demu anasema ana mimba yako ukaomba ushauri leo unasema una mimba wewe tena how this comes?
mpenzi wangu alikuwa mbishi sana, hakubali kushauriwa haf huwa hanishirikishi mambo yake na nikimuuliza ananijibu vibaya.. nimejisikia vibaya sana kuwa na hii mimba na ninaamini ni yakwake na amenichunia kabisa txt zangu hajibu, calls hapokei, last time alinitext kuwa anafight kutafuta kazi na hana pesa yoyote ya kunisaidia, nakaribia mitihan na hata cjui huko home nitasemaje coz ninaishi na mama tu ndo anayensomesha na kila kitu
Kwanza hii id ni ya jan 18 2013 post ya kwanza ulisema una demu anasema ana mimba yako ukaomba ushauri leo unasema una mimba wewe tena how this comes?