Msaada wa kisheria plz.

Msaada wa kisheria plz.

MONSI WENGA

Member
Joined
Aug 7, 2011
Posts
51
Reaction score
34
x, alifungua kesi ya kuvunja ndoa mahakamani kwa madai ya kupigwa, na mahakama baada ya kusikiliza pande zote mbili ikaona kuwa mdai ameshindwa kuthibitisha dai lake, hivyo ndoa haikuvunjwa, baada ya miezi saba mdai akafungua tena akidai ndoa ivunjwe, mdaiwa akasema kuwa hii kesi ilishasikilizwa na mdai alishindwa, hivyo mahakama iitupilie mbali hiyo kesi......, je katika mazingira haya tutafanyaje.......
 
x, alifungua kesi ya kuvunja ndoa mahakamani kwa madai ya kupigwa, na mahakama baada ya kusikiliza pande zote mbili ikaona kuwa mdai ameshindwa kuthibitisha dai lake, hivyo ndoa haikuvunjwa, baada ya miezi saba mdai akafungua tena akidai ndoa ivunjwe, mdaiwa akasema kuwa hii kesi ilishasikilizwa na mdai alishindwa, hivyo mahakama iitupilie mbali hiyo kesi......, je katika mazingira haya tutafanyaje.......

Kata rufaa kwa ngazi ya mahakama ifuatayo. I do not think that this is a case of res judicata as in this second application the parties might be the same but the facts different! Ukatili unaendelea. Jenga ushahidi kwanza. Kila anapopigwa aripoti kwa mamlaka za serikali zilizo kwake-m/mtaa, polisi, hospitali etc. By that unajenga ushahidi madhubuti. ilikuwa mahakama ipi? mwanzo, district??
 
Asante Mkuu nimekupata vzuri, shauri lilikuwa mahakama ya mwanzo.
 
km katika kesi ya pili cause ni tofauti it can not bar the proceeding hata km ni kupigwa tena km anao ushahidi things can proceed
 
Back
Top Bottom