Msaada wa kisheria tafadhali

Msaada wa kisheria tafadhali

Nifanye nini?


  • Total voters
    1

Annalito

Member
Joined
Sep 2, 2018
Posts
44
Reaction score
12
Ninaomba msaada wenu wakuu. Kwenye makaburi ya kinondoni alipokua amelazwa marehemu mama yangu kuna kaburi la mtu mwingine na limejengelewa haswa. Nini nifanye nipate haki ya sehemu ya mama yangu? Mama yangu alifariki mwaka 2001 na hatujakuta hata msalaba. Na huyo waliyemzika amezikwa 2021.
 
Ninaomba msaada wenu wakuu. Kwenye makaburi ya kinondoni alipokua amelazwa marehemu mama yangu kuna kaburi la mtu mwingine na limejengelewa haswa. Nini nifanye nipate haki ya sehemu ya mama yangu? Mama yangu alifariki mwaka 2001 na hatujakuta hata msalaba. Na huyo waliyemzika amezikwa 2021.
Pole Sana je mara ya mwisho kwenda Cemetery ilikuwa lini ? Then ilo eneo mlinununua na je vielelezo vyote unavyo?

Tiririka hapa. Upate majibu.
 
Kuna msemo unasema chako peke yako ni kaburi, sharti lisiwe Kinondoni!![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom