Msaada wa kisheria tafadhali

Msaada wa kisheria tafadhali

LISSA MAGIGE

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Ninaitaji msaada wa kisheria tafadhali je endapo umeishi na mwanaume kwa mda wa miezi 8 pasipo kufunga ndoa na katika kuishi kwenu kuwepo na haadi za kufunga ndoa hapo baadae lakini ikatoea mwanamke anashika ujauzito kabla ya ndoa kufungwa na alipomweleza mwenzake kwamba ni mjamzito mwanaume alipozipokea izo habari alimtoroka mwanamke mpaka leo hii hajarudi nyumbani je sheria hapo inamsidiaje mdada huyu tafadhali
 
Katika sheria kuna k2 kinaitwa presumption to marriage ambpo inabdi mue mmekaa wote kwa miaka angalau isiyopungua miwili na mwnekane kuishi kma mke na mume,kdgo hyo ishu yako ingekaa hpa lakn kuna mapungufu,ushauri wangu tafuta sheria nyngne itakayoweza kumbna uyo mwanaume lakn kwa sheria za ndoa itakua ngumu,mfn labdo iyo mimba kuna v2 ingekua imekusabishia kma kuvuruga mausiano yako na familia ama jamii ama itakusababishia kutokuolewa tena,hapo u cn sue for damages.
 
Hapo ni kudai matunzo tu ya mimba na mtoto atakayezaliwa. Lakini itabidi uthibitisho wa mimba kama ni yake na fidia nyingine za kukusababishia usiolewe labda kwa sababu ya mimba aliyokupa. Pole
 
Ninaitaji msaada wa kisheria tafadhali je endapo umeishi na mwanaume kwa mda wa miezi 8 pasipo kufunga ndoa na katika kuishi kwenu kuwepo na haadi za kufunga ndoa hapo baadae lakini ikatoea mwanamke anashika ujauzito kabla ya ndoa kufungwa na alipomweleza mwenzake kwamba ni mjamzito mwanaume alipozipokea izo habari alimtoroka mwanamke mpaka leo hii hajarudi nyumbani je sheria hapo inamsidiaje mdada huyu tafadhali
sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kifungu cha 69 kinatoa haki ya kushitaki na kudai fidia kwa ukiukwaji ahadi ya kuoana.......hata hivyo kifungu cha 70 kinataka dai hilo lisiletwe mahakamani mwaka mmoja na zaidi baada ya ahadi ya ndoa kuvunjwa.....hivyo basi kama mwaka mmoja umepita na kama mna mtoto unachotakiwa kudai ni malezi ya mtoto ......kwa maelezo zaid ni PM
 
Back
Top Bottom