twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Salaam wanajamii,
Ninaomba kuuliza maswali yafuatayo:
1:Hivi naweza kuchimba madini nikiwa na primary mining licence bila kuwa na mining licence?
2:Kama nina primary mining licence ni hatua zipi ninapaswa kuzichukua mpaka niweze kuchimba?
3:Je kwa mtu mwenye primary mining licence ni muda gani anaweza kukaa bila kulitumia eneo na ikapelekea yeye kunyang'anywa leseni au ni mambo gani asipoyafanya itapelekea yeye kufutiwa leseni?
4:Ni hatua zipi kisheria natakiwa kuzifuata kufungua ofisi ya kushughulikia maeneo ya madini yaliyokatiwa primary mining licence.
Wataalamu tafadhali naomba mnijuze.Samahani kama nitakuwa nimejichanganya kidogo kwenye kuuliza aya maswali.
Natumai nimeeleweka.Karibuni..!
Ninaomba kuuliza maswali yafuatayo:
1:Hivi naweza kuchimba madini nikiwa na primary mining licence bila kuwa na mining licence?
2:Kama nina primary mining licence ni hatua zipi ninapaswa kuzichukua mpaka niweze kuchimba?
3:Je kwa mtu mwenye primary mining licence ni muda gani anaweza kukaa bila kulitumia eneo na ikapelekea yeye kunyang'anywa leseni au ni mambo gani asipoyafanya itapelekea yeye kufutiwa leseni?
4:Ni hatua zipi kisheria natakiwa kuzifuata kufungua ofisi ya kushughulikia maeneo ya madini yaliyokatiwa primary mining licence.
Wataalamu tafadhali naomba mnijuze.Samahani kama nitakuwa nimejichanganya kidogo kwenye kuuliza aya maswali.
Natumai nimeeleweka.Karibuni..!