Msaada wa Kisheria,tafadhali.

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Salaam wanajamii,
Ninaomba kuuliza maswali yafuatayo:
1:Hivi naweza kuchimba madini nikiwa na primary mining licence bila kuwa na mining licence?
2:Kama nina primary mining licence ni hatua zipi ninapaswa kuzichukua mpaka niweze kuchimba?
3:Je kwa mtu mwenye primary mining licence ni muda gani anaweza kukaa bila kulitumia eneo na ikapelekea yeye kunyang'anywa leseni au ni mambo gani asipoyafanya itapelekea yeye kufutiwa leseni?
4:Ni hatua zipi kisheria natakiwa kuzifuata kufungua ofisi ya kushughulikia maeneo ya madini yaliyokatiwa primary mining licence.
Wataalamu tafadhali naomba mnijuze.Samahani kama nitakuwa nimejichanganya kidogo kwenye kuuliza aya maswali.
Natumai nimeeleweka.Karibuni..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…