Nimepigiwa simu na shemeji yangu kuwa leo 25.1. 2013 amekamatwa na askari wa kituo kidogo cha police Ijumbi wilayani Muleba. Hazari nilizoletewa na ndugu yangu aliye hapo ni kwamba mtuhumiwa amepelekwa katika Mahakama ya mwanzo ya Kashasha wilayani Muleba.
Wasiwasi wangu ni kuwa leo ni J1 na inaonekana kuwa kuna njama imesukwa kati ya police mlalamikaji na hakimu ili kumgandamiza mlalamikiwa. Mlalamikiwa anadaiwa kumtishia mlalamikaji kuwa atamuua. Ukweli ni kuwa huyu shemeji yangu alikuwa ni shahidi tu katika mgawanyo wa shamba la urithi ambapo mlalamikaji anaona huyu ndiye aliyetoa ushahidi uliomfanya akose shamba
Wasiwasi wangu ni kuwa leo ni J1 na inaonekana kuwa kuna njama imesukwa kati ya police mlalamikaji na hakimu ili kumgandamiza mlalamikiwa. Mlalamikiwa anadaiwa kumtishia mlalamikaji kuwa atamuua. Ukweli ni kuwa huyu shemeji yangu alikuwa ni shahidi tu katika mgawanyo wa shamba la urithi ambapo mlalamikaji anaona huyu ndiye aliyetoa ushahidi uliomfanya akose shamba