CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Naomba msaada:
Mdai akipata ruhusa ya mahakama baada ya certification of point of law, ni muda gani (time limit) anapewa kisheria ili alodge appeal.Sasa ni mwaka tangu mdai huyo apewe leave to appeal na certificate of point of law, mpaka sasa amenyamaza tu.
Mdai akipata ruhusa ya mahakama baada ya certification of point of law, ni muda gani (time limit) anapewa kisheria ili alodge appeal.Sasa ni mwaka tangu mdai huyo apewe leave to appeal na certificate of point of law, mpaka sasa amenyamaza tu.