Mimi ni mfanyakazi wa kampuni moja ya ulinzi.
Miezi michache iliyopita client wa kampuni tunayoliilinda alidai kuibiwa mali yake baada ya uchunguzi wa kina upande wa kampuni yetu ya ulinzi walikana sisi kuhusika na tuhuma hizo na kuamua kutuhamishia vituo vingine vya kazi ila client yule aliyedai kuibiwa atutafuta tulipoamishiwa na kutufungulia kesi.
Swali langu la msingi kuna sheria inayoruhusu mfanyakazi kuendelea na kazi pindi ana kesi ya kujibu mahakamani? pili wa kushtakiwa ilipaswa iwe kampuni yetu ya ulinzi au sisi waajiriwa?
Tafadhali msaada wenu.
Miezi michache iliyopita client wa kampuni tunayoliilinda alidai kuibiwa mali yake baada ya uchunguzi wa kina upande wa kampuni yetu ya ulinzi walikana sisi kuhusika na tuhuma hizo na kuamua kutuhamishia vituo vingine vya kazi ila client yule aliyedai kuibiwa atutafuta tulipoamishiwa na kutufungulia kesi.
Swali langu la msingi kuna sheria inayoruhusu mfanyakazi kuendelea na kazi pindi ana kesi ya kujibu mahakamani? pili wa kushtakiwa ilipaswa iwe kampuni yetu ya ulinzi au sisi waajiriwa?
Tafadhali msaada wenu.