Msaada wa kisheria tafadhari

Msaada wa kisheria tafadhari

Ren g

Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
18
Reaction score
1
Nina ndugu yangu kawekwa rokap toka juz na polisi kwamba wamedhurum mtu pesa lakn mpaka sasa polisi hawana ushahidi wowote je nifanyeje?
 
muraa ni shilingi ngapi? na amekaa rokapu a.k.a lock up siku ngapi? Na umejuaje kwamba hawana ushahidi au kielelezo unacho wewe umekificha? haujui kuwa kuna aina nyingi za ushahidi ukiwepo ushahidi wa kimazingira(circumstantial evidence) ambao nao waweza kukubalika mahakamani?
 
Back
Top Bottom