Msaada wa kisheria unahitajika

Msaada wa kisheria unahitajika

nyelesa

Member
Joined
Apr 18, 2010
Posts
63
Reaction score
18
Jamaa wawili wanapakana ambapo mmoja amejenga ukuta kuzunguka makazi yake,na jirani yake ndani ya eneo lake ameotesha migomba kabribu kabisa na mpaka.Mgomba mmojawapo umezaa tunda la ndizi ambayo imening’inia upande wa pili kwa jirani(yaani tunda lote la ndizi liko ndani ya ukuta wa jirani).Ni nani mmiliki wa tunda hilo?Je kuna kosa kisheria limetendeka?
 
It is OK is this a hypothetical scenario, else itakua ajabu utafute msaada wa kisheria kuhusu mgomba wa ndizi wenye thamani isiozidi TZS 15,000 (about USD 8)
 
It is OK is this a hypothetical scenario, else itakua ajabu utafute msaada wa kisheria kuhusu mgomba wa ndizi wenye thamani isiozidi TZS 15,000 (about USD 8)
Siyo hypothetical scenario,ila ni uhalisia.Majadiliano yanaonekana kutoenda uzuri.Ndiyo maana nimeleta hapa kupata ushauri nini kifanyike kuondoa dhahama hii!
 
Jamaa wawili wanapakana ambapo mmoja amejenga ukuta kuzunguka makazi yake,na jirani yake ndani ya eneo lake ameotesha migomba kabribu kabisa na mpaka.Mgomba mmojawapo umezaa tunda la ndizi ambayo imening'inia upande wa pili kwa jirani(yaani tunda lote la ndizi liko ndani ya ukuta wa jirani).Ni nani mmiliki wa tunda hilo?Je kuna kosa kisheria limetendeka?


Hapo bwana Mgomba unabaki wa mwenye mgomba sababu umeota ndani ya ardhi ya mwenye mgomba. tatizo litatokea kama hizo ndizi au migomba itadondoka ndani ya uwanja wa jirani na kuleta madhara au kusababisha hasara yoyote. Jirani atakuwa na haki ya kushtaki mahakamani (tortious liability)
 
Hapo bwana Mgomba unabaki wa mwenye mgomba sababu umeota ndani ya ardhi ya mwenye mgomba. tatizo litatokea kama hizo ndizi au migomba itadondoka ndani ya uwanja wa jirani na kuleta madhara au kusababisha hasara yoyote. Jirani atakuwa na haki ya kushtaki mahakamani (tortious liability)

Nashukuru kwa ushauri wako,kama nimkuelewa vizuri ni kwamba ikiwa haitandondoka na kuleta madhara hapo hakuna tort yoyote itakayo simama.Je huoni kwamba bado inaleta usumbufu kwa jirani huyo kwa maana ya uhuru na kusafisha majani yanayodondoka kutoka katika ndizo hiyo?
 
mdau napenda na mimi nichangie kidogo.
mmiliki atakuwa ni yule ambaye amepanda ule mgomba.
kisheria kuna kitu kinaitwa NUISANCE, kwahiyo huyo jamaa ambaye mgomba umeinamia kwenye ardhi yake kama anaweza kuthibitisha madhara yoyote ameyapata kuhusiana na hali ya huo mgomba basi kosa la mmiliki wa mgomba ni hilo CAUSING NUISANCE.lakini ni vyema kutofautisha jambo hili na AIR SPACE TRESPASS.
 
lakini pia inashauliwa ni vyema kabla ya kuchukua hatua za kisheria pande mbili wakutane ili kama kunajambo anaweza kulifanya mwenye mali iliyoingilia mali ya mtu mwingine kama kukata au makubaliano mengine bas yafanyike ili kumaliza mgogoro baina yao
 
lakini pia inashauliwa ni vyema kabla ya kuchukua hatua za kisheria pande mbili wakutane ili kama kunajambo anaweza kulifanya mwenye mali iliyoingilia mali ya mtu mwingine kama kukata au makubaliano mengine bas yafanyike ili kumaliza mgogoro baina yao

I really acknowledge to all contributions, of course I have a stepping stone to start with. This scenario is of utmost importance in resolving this kind problem within the community we are living. Karibuni sana kwa michango zaidi.
 
Back
Top Bottom