nyasangaboy
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 127
- 58
Muache tu, labda kama una muda wa kupoteza. Mwambie hujapata nyumba na umuombe hata mwezi kama hujaulipia mwambie utalipia.Habari zenu wakuu.Nipo msaada wa wenu mwenye nyumba ananiambia name pasipo kunipa notice ya kujiandaa kuama,nichukue hatua gani??
Nimempa kodi nakata kupokea na anataka niache chumbaUnadaiwa pango?
Mna ugomvi?
Tatizo ni nini?
Huyo mama anafanya kunikomoa kodi inaisha leo na anataka niame kitu ambacho si hakiZungumza nae akupe muda kidogo kama ulivyo shauriwa hapo juu kisha uhame hapo si vyema kuingia katika mgogoro na mali ya mtu najua wapo watakaojifanya ni mafundi na mabingwa wa sheria watakaokupa ushauri wa kupambana na huyo mwenye nyumba lakini ukae ukijua yanaweza kutokea matatizo makubwa na hatimaye ukaishia kujuta, mswahili sio mtu mzuri.
Huyo mama anafanya kunikomoa kodi inaisha leo na anataka niame kitu ambacho si haki
Unatakiwa kisheria utoe na wewe notisi mwezi mmoja kama unaongeza mkataba. Sasa sijui kama ulimtaarifu?Huyo mama anafanya kunikomoa kodi inaisha leo na anataka niame kitu ambacho si haki
tembea na binti yake, tembea naye tena mara ya pili, na tatu , akianza kutema mate hama mchana kweupe uone kama hjakuomba urudi kukaa bure.Habari zenu wakuu.
Nipo msaada wa wenu mwenye nyumba ananiambia name pasipo kunipa notice ya kujiandaa kuama, nichukue hatua gani?
Kisheria kama nahama ndo natakiwa nimpe taarifa lakini si kama naendeleaUnatakiwa kisheria utoe na wewe notisi mwezi mmoja kama unaongeza mkataba. Sasa sijui kama ulimtaarifu?
Kanishtukiza aseee lakin sikuna taaribu kwa sababu hii ni biashara aijiendei tuKama alikupa taarifa mapema kwamba mkataba ukiisha hatokupangisha tena tafadhali ndugu yangu hama hapo mahali na kama amekushitukiza tu wewe ukijua utaendelea tu upangaji basi zungumza nae akupatie muda angalau mwezi mmoja ili ujiandae kuhama lakini ukitaka kusumbuana nae itakuwa tatizo maana uenda kweli huko mtakapopelekana ukamshinda lakini ukweli nakuambia matokeo yake yaweza kuwa mabaya sana.
Kitanda usicholalia ujui kunguni wake
Na aache Yale mapishi ya kumuudhi mama mwenye nyumba ye kila siku makaangiziUnaonekana wewe ni mkorofi hadi mwenye nyumba anatamani uhame[emoji23] badilika acha kupiga mziki kwa sauti kubwa unawapa kero wenzio.
Hutaki kulipa kodi yake? Unataka ukae bure halafu upewe notisi ya kujiandaa miezi 3 subiri utakimbia mwenyewe shauri zakoHabari zenu wakuu.
Nipo msaada wa wenu mwenye nyumba ananiambia name pasipo kunipa notice ya kujiandaa kuama, nichukue hatua gani?