chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
Nime lent nyumba/apart last year kwa bahati mbaya huyu landlord hakuwa na pesa ya kukarabati hii nyumba
hivyo nilimlipa cash kodi ya mwaka mzima about 4.2m mkataba mpaka mwezi wa sita mwaka huu cha ushangaza hata hadhi ya nyumba hikufikia ie hali ambao tulielewana mie niichukulia ubinadamu nikaendelea kukaa.kwani tulikubariana
1.maji yawe ndani hajafana hivyo
2.amalize deni tannesco huanya hivyo so tannesco wamekuwa wakinikata kila ninunuapo umeme hadi deni limkwisha
3.kuweka grill nyuma akufanya
4.kujenga sink hajafanya
cha kusikitisha na kushangaza juzi ananipa notice kuwa ifikapo juni niwe nimehama ktika nyumba yake
msaada wa sheria wandugu
hivyo nilimlipa cash kodi ya mwaka mzima about 4.2m mkataba mpaka mwezi wa sita mwaka huu cha ushangaza hata hadhi ya nyumba hikufikia ie hali ambao tulielewana mie niichukulia ubinadamu nikaendelea kukaa.kwani tulikubariana
1.maji yawe ndani hajafana hivyo
2.amalize deni tannesco huanya hivyo so tannesco wamekuwa wakinikata kila ninunuapo umeme hadi deni limkwisha
3.kuweka grill nyuma akufanya
4.kujenga sink hajafanya
cha kusikitisha na kushangaza juzi ananipa notice kuwa ifikapo juni niwe nimehama ktika nyumba yake
msaada wa sheria wandugu