nachid
JF-Expert Member
- Apr 14, 2011
- 937
- 203
Naenda moja kwa moja kwenye mada, mama yangu ana tuhuma za udanganyifu wa mtihani huu wa primary, yeye anadai hakukuwa na kitu chochote alichofanya ndani ya chumba cha mtihani. Sasa tatizo mkuu wao amedai atawapeleka mahakani, je kwa hili adhabu gani inaweza kutolewa? je nikimtafutia mwanasheria ushindi wa kesi unawezekana? Naomba msaada wandugu maana ameshindwa hata kusheherekea chrismas vema. ASANTE