Ndio ila ni zamani kidogo tuna wiki tatu tukiwa tumeachana na hatuna masiliano .. Na ckuwahi kuonekana naye sehem yyte ilikuwa n kimyakimya sana.
Ndio hvo nmetishiwa kwa kupigiwa simu.... Nifanyeje sasa, ama niende police kushtaki......Ivi unapata wapu ujasiri wa kumkaza mke wa mtu,uyo jamaa nae ni bwege sana wewe unatakiwa utafutwe kimyakimya na ufanyiwe kitu kibaya ni dhambi kubwa kumsubiri Mungu akuadhibu mtu kama wewe.
Sasa mkuu, anitafute kimya kimya hata nikiwa njian? Ama anikute na mkewe? Coz hakuwahi kuniona nae hata tumecmama njian.Ivi unapata wapu ujasiri wa kumkaza mke wa mtu,uyo jamaa nae ni bwege sana wewe unatakiwa utafutwe kimyakimya na ufanyiwe kitu kibaya ni dhambi kubwa kumsubiri Mungu akuadhibu mtu kama wewe.
Umesoma mpaka darasa la ngapi???Ndio hvo nmetishiwa kwa kupigiwa simu.... Nifanyeje sasa, ama niende police kushtaki......
Kwan kama anajua me n mgoni wake c aende mahakaman ama angenitafuta kimya
Jipeleke Polisi ukaseme kuwa ulikuwa unatembea na mke wa mtu sasa umepigiwa simu na mwenye mke amekuambia maneno yafuatayo then taja maeneno yenyewe "..........." Hahahahaha..Nilikomea form two kamanda, njoo kwenye hoja, ungekuwa wewe ndio mimi ungefanyaje?
Ndio hvo nmetishiwa kwa kupigiwa simu.... Nifanyeje sasa, ama niende police kushtaki......
Kwan kama anajua me n mgoni wake c aende mahakaman ama angenitafuta kimya
Sasa mkuu, anitafute kimya kimya hata nikiwa njian? Ama anikute na mkewe? Coz hakuwahi kuniona nae hata tumecmama njian.
KAJISUBMIT AKUFUMUE LINDANikakiri kosa!? Ama nimuombe kwa njia gani? Mwanamke mwenyewe hajakubali kuwa amekazwa nje, sasa nikajisubmit mkuu mimi mwenyewe....... !?
Mkuu asante kwa ushauli, je police wakfanya uchunguz wakibaini nilimkaza itakuwaje? Ama akaitwa akaja kusema nilikuwa namkazia?Hiyo namba isevu pia hiyo sauti kaiweke kwenye CD kama kumbukumbu ikiwa ovyo itakua ushaidi pia nenda kafungue taarifa Polisi dhidi ya vitisho report book(RB)