Salaam,
Mimi nina kiwanja changu hapa Dar. Upande wa kushoto wa kiwanja changu nikaamua kuwacha njia ya watu kupita na magari madogo. Sasa mtu ninaepakana nae kaamua kupanda mahindi kwenye ile njia. Hivyo kufanya watu wasitumie ile njia na wakitaka kupita wanapita kwenye kiwanja changu. Juzi nimepeleka mchanga na kokoto kwenye site yangu, lori la mchanga likatumia ile njia yenye mahindi na kufweka mahindi yote. Sasa jamaa amenishtaki polisi akiomba alipwe. Hivi kesho naenda polisi. Hii imekaaje kisheria? kweli anastahili kulipwa huyu jamaa.
Mimi nina kiwanja changu hapa Dar. Upande wa kushoto wa kiwanja changu nikaamua kuwacha njia ya watu kupita na magari madogo. Sasa mtu ninaepakana nae kaamua kupanda mahindi kwenye ile njia. Hivyo kufanya watu wasitumie ile njia na wakitaka kupita wanapita kwenye kiwanja changu. Juzi nimepeleka mchanga na kokoto kwenye site yangu, lori la mchanga likatumia ile njia yenye mahindi na kufweka mahindi yote. Sasa jamaa amenishtaki polisi akiomba alipwe. Hivi kesho naenda polisi. Hii imekaaje kisheria? kweli anastahili kulipwa huyu jamaa.