inaonekana ni vile viwanja ambavyo avina mipaka yakuleweka/avijapimwa na apo wataingia kwenye mgogoro mwingine wa mpaka.Viwanja vina mipaka kama hio njia ipo kwenye mpaka wako, au kama unayo ramani ya kiwanja basi nenda nayo polisi. Huo utakuwa ushahidi wako
Yeah. Ni vile viwanja ambavyo havina mipaka. Lakini karatasi za jamaa aliyeuziwa hazionyeshi kama ameuziwa njia. Ameuziwa kiwanja tu, na mwenye kiwanja akaamua kutoa njia. Sasa huyu jamaa anadai njia ni ya kwake ameuziwa pia, kwa hiyo anapanda mazao kwenye hiyo njiainaonekana ni vile viwanja ambavyo avina mipaka yakuleweka/avijapimwa na apo wataingia kwenye mgogoro mwingine wa mpaka.
dah apo itabidi mpate mashahidi wengine wanaojua mipaka ya maeneo yenu bila hivyo kila mtu atakuwa anavutia kwake.Yeah. Ni vile viwanja ambavyo havina mipaka. Lakini karatasi za jamaa aliyeuziwa hazionyeshi kama ameuziwa njia. Ameuziwa kiwanja tu, na mwenye kiwanja akaamua kutoa njia. Sasa huyu jamaa anadai njia ni ya kwake ameuziwa pia, kwa hiyo anapanda mazao kwenye hiyo njia
Aliyeniuzia kiwanja yupo na amekana mbele yangu na mbele ya huyo mwenzangu kama hajamuuzia njia. Ila jamaa anasema walikubaliana kwa mdomo kuuziwa njia. Yaani ndio nimejua wakuria watata sana.dah apo itabidi mpate mashahidi wengine wanaojua mipaka ya maeneo yenu bila hivyo kila mtu atakuwa anavutia kwake.
ataki kukubali alidanganywa na pia ukumuona alipoanza kulima.Aliyeniuzia kiwanja yupo na amekana mbele yangu na mbele ya huyo mwenzangu kama hajamuuzia njia. Ila jamaa anasema walikubaliana kwa mdomo kuuziwa njia. Yaani ndio nimejua wakuria watata sana.
Nilimuacha. Nilimchulia fair tu. Sasa nataka kujenga ndio moto imewalaataki kukubali alidanganywa na pia ukumuona alipoanza kulima.