MSAADA WA KISHERIA

King Edward

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2016
Posts
230
Reaction score
376
Unapotapeliwa Kama mtoa huduma mpesa au tigo pesa unamlipaje mwajiri wako.
 
Mbaya zaidi iwe mchezo umechezwa na bosa mwenyewe.

Maisha ni mzunguko sana.
 
Ukimsababishia mwajiri wako hasara anayo haki na jukumu la kukata mshahara wako ili kufidia hiyo hasara.

Ingawa kaa nae chini muongee ili asiwe anakata mshahara wote mkuu.
Kama ataendelea kukata mshahara wote.

Hapo atakuwa anakutengenezea mazingira ili uache kazi. In legal perspective, we call it CONSTRUCTIVE TERMINATION.

Kwa msaada zaidi uje ofsini kwangu mkuu uchangie consultation fee maana hii ni NOBLE PROFESSION.
 
Duh thanks, na nikikimbia kazi nashitakiwa?
 
Duh thanks, na nikikimbia kazi nashitakiwa?
Ingewezekana mngekaa na kuongea kibinadamu, tatizo tukishakuwa boss ni order kwenda mbele na kuogopwa kwa sana, hata uhuru wa majadiliano haupo kwa hiyo inakuwa ngumu kwako, unabaki kuomba misamaha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…