Mtuhumiwa wangu hakuwasili mahakamani bila kutoa taarifa ya kuto kuja mahakamani, siku ya kusikilizwa kesi na kuja na mashahidi.
Tarehe Y nimeambiwa nirudi mahakaman, kwa kutolewa order ya kutafutwa yeye na mdhamini wake.
So what will be the last decisions from the court after them kukamatwa.??