Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakunaHivi kwenye sheria zetu za kazi hapa Tanzania huwa kuna kosa la "Kusudio la Kuiba?" Kama lipo je, mazingira yake ni kama yapi?
[emoji120]Hakuna
Hawaji [emoji23]Ngoja waje kukupa muongozo...
Majibu hapa tafadhariNgoja waje kukupa muongozo...
Linaitwa attempt to theft mfano simu ilikuwa inachajishwa ukaishika ukakamatwa au umekutwa kwenye nyumba ya mtu mlango upo wazi wewe unataka kuingiaHivi kwenye sheria zetu za kazi hapa Tanzania huwa kuna kosa la "Kusudio la Kuiba?" Kama lipo je, mazingira yake ni kama yapi?
Hivyo ni lazima ukamatwe si ndiyo?Linaitwa attempt to theft mfano simu ilikuwa inachajishwa ukaishika ukakamatwa au umekutwa kwenye nyumba ya mtu mlango upo wazi wewe unataka kuingia
Ndio si nikosaHivyo ni lazima ukamatwe si ndiyo?
Ni kosa la jinai au?Ndio si nikosa