Mkulima Nchini
Member
- Jan 30, 2013
- 71
- 9
Jamani nahitaji ushauri wa kitaalam,
Nimeolewa ni miaka mingi sasa, ila kwa bahati mbaya Mungu hajatujaalia kupata watoto wa ndoa. Lakini mume wangu yeye anadaiwa kuwa na mtoto kabla ya ndoa.
Ninashiriki sana kwa hali na mali katika kuleta maendeleo kifedha katika ndoa yetu, tuna biashara zilizo na mafanikio sana. Swali langu ni je inatokea mpaka nafikia umri wa kutoweza tena kuzaa, nini haki yangu pindi muda wa mirathi ukifikia? Maana sheria itamtambua mtoto wa mume wangu tu na wakati ki ukweli mimi ninamchango ktk mali hizi kwa asilimia 60%.
Nini nifanye ili nisije kusumbuana na wenye tamaa za mali. Ya Mungu mengi.
Nimeolewa ni miaka mingi sasa, ila kwa bahati mbaya Mungu hajatujaalia kupata watoto wa ndoa. Lakini mume wangu yeye anadaiwa kuwa na mtoto kabla ya ndoa.
Ninashiriki sana kwa hali na mali katika kuleta maendeleo kifedha katika ndoa yetu, tuna biashara zilizo na mafanikio sana. Swali langu ni je inatokea mpaka nafikia umri wa kutoweza tena kuzaa, nini haki yangu pindi muda wa mirathi ukifikia? Maana sheria itamtambua mtoto wa mume wangu tu na wakati ki ukweli mimi ninamchango ktk mali hizi kwa asilimia 60%.
Nini nifanye ili nisije kusumbuana na wenye tamaa za mali. Ya Mungu mengi.