Msaada wa kisheria

Msaada wa kisheria

lucasogutu

Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
48
Reaction score
13
Naja kwenu kwa msaada wa kisheria.

Mie mwajiri alisitisha mkataba wangu kinyume na taratibu kwa sababu hakufuata taratibu wala sheria za kazi.

Baada ya kuona hivyo nilienda baraza la mapatano na usuluhishi wizara ya kazi (CMA) ambapo mwanasheria alitushauri tumalize shauri hilo kwa mapatano.

Tulikubaliana ya kuwa mwajiri anilipe mishara ya miezi sita.

Sasa siku ya kwenda kuchukua cheki nilishtuka kuona askari wakinivamia na kuniweka chini ya ulinzi wakidai kwamba wao ni wapelelezi na ninashitakiwa kwa kutishia kuua meneja wa kampuni niliyokuwa naifanyia kazi.

Kulitomea mabishano lakini niliwaomba wanisubiri nichukue malipo yangu kisha twende.

Niliingia ndani nikapewa barua iliyoelekeza kwamba nilipwe na baadae vocha nikaanza kusaini hati ile ya makubaliano.

Wakati nasaini ya mwisho wakanipa cheki kuangalia nikakuta cheki imeelekezwa kwangu lakini una muhuri wa Twiga benki account payee.

Kuwauliza wakajifanya hawajui na baadae wakasema nilikuwa nadaiwa benki.

Swali langu ni hivi katika shauri lilidumu zaidi ya siku 107 mwajiri hakusema nadaiwa. Hata kwenye hati ya maelekezo haikusema pesa hiyo iende Twiga.

Jitihada za kuwaomba warekebishe zimeshindikana naomba msaada kisheria ili nipate haki yangu.
 
I am not doing pro bono here u have to pay fee it is unethical not to receive fee from my client, i am bound by cab rank rule, fee please nitumie kwenye akaunti yangu ya m pesa 0755 086--- ukiwa tayari nijuze
 
Extend ur legal advice pal after I get the pay I will reward you accordingly.
 
Sasa ndugu yangu elezea story kamili yit seems like ulikopa na kawaida terminal dues huenda bank lakin sasa usielezee ishu nusu nusu legal advice itakua wrong incase una hide somethings..
 
Ndugu yangu nkasoukumu cab rank rule haizungumzii hicho ulichosema hii ni rule against bias sasa mambo ya legal fee how comes? Anyway tunakumbushana tu!
 
Back
Top Bottom