Msaada wa kisheria

Msaada wa kisheria

BONGE SANA

New Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
4
Reaction score
0
Hivi ni sheria gani inasema dini hii ndo inaruhusiwa kuchinja mnyama fulani ndipo aliwe na watu wote
 
Asante sana mkuu, labda wanaojua sheria watapitia hapa na kutufafanulia hii sheria au watuwekeee hapa sehemu ya hiyo sheria tuweze kuelimika.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
amna sheria yoyote hapa tanzania. but alikuwa ni utamaduni tu. sasa kila dini ichinje mnyama wake na wale wafasi wake.
 
hakuna isipokua wakristo wanaka uungwana ka uvumulivu
 
mkuu! Hawa jamaa ndo maana watu wanasema wanaabudu mashetani. Hv inakuwaje suluhisho wanaona kuwachnja watu? Wakiristo wanapingana na shetan wao wanapingana na binadamu wenzao kwa kutmia dini, ndo maana magamba kwny miguu hayawaishi. Mapumbv na tutayakomesha haya yatahama kwenda kuwatafta waarabu wao waliowapandikizia ujinga.
 
Back
Top Bottom