Complicator EM
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 155
- 39
Kuna rafiki yangu alikuwa anafanya kazi kiwandani sasa ukatokea wizi fulani yeye na wenzake walipelekwa mahakamani na kusimamishwa kazi hapo hapo lkn waliendelea kulipwa mishahara.
Sasa kesi iliyoko mahakamani wameshinda na mahakama imesema hawana hatia je kwa wajuvi wa sheria nini kinafuata baada ya hapo ili warudi kazini?
hIcho kiwanda ni cha serikali au???
Mara rafiki yako!mara wewe!!kipi ni kipi??