Msaada wa kisheria

nyangi junior

Member
Joined
May 14, 2013
Posts
21
Reaction score
10
Hivi wakuu katiba ya NGO inatakiwa ifuate sheria ya makampuni au kuna sheria yake? na je kama kuna sheria yake ni ipi?
 
tafuta mwanasheria atakuelekeza kiundani, ila utawalipa consultation fee, na ukitaka wakutengenezee katiba ya NGO yako watakutengenezea haraka sana. if you don't mind, contact myself, pm me.
 
tafuta mwanasheria atakuelekeza kiundani, ila utawalipa consultation fee, na ukitaka wakutengenezee katiba ya NGO yako watakutengenezea haraka sana. if you don't mind, contact myself, pm me.
sawa mkuu nitakutafuta. your contacts please..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…