Proffesor JF-Expert Member Joined Aug 13, 2014 Posts 2,164 Reaction score 2,968 Aug 14, 2014 #1 Nataka kwenda mahakamani kupinga hili bunge la katiba lihairishwe mpk uchaguzi wa mwakani uishe.. msaada please wa KISHERIA. . Msaidie Proffesor. .
Nataka kwenda mahakamani kupinga hili bunge la katiba lihairishwe mpk uchaguzi wa mwakani uishe.. msaada please wa KISHERIA. . Msaidie Proffesor. .
M Mpimaardhi Senior Member Joined Jun 7, 2014 Posts 169 Reaction score 14 Aug 14, 2014 #2 Umesema kweli hili bunge LA Maccm halioni hata AIBU CCM inajifanya imetumwa kuandaa katiba oneni aibu jamani
Umesema kweli hili bunge LA Maccm halioni hata AIBU CCM inajifanya imetumwa kuandaa katiba oneni aibu jamani
Proffesor JF-Expert Member Joined Aug 13, 2014 Posts 2,164 Reaction score 2,968 Aug 15, 2014 Thread starter #3 Mpimaardhi said: Umesema kweli hili bunge LA Maccm halioni hata AIBU CCM inajifanya imetumwa kuandaa katiba oneni aibu jamani Click to expand... Mkuuuuu nataka nifungue kesi kupinga hili bunge la katiba linaloendelea .. nahitaj msaada wa KISHERIA kidogo tu ..
Mpimaardhi said: Umesema kweli hili bunge LA Maccm halioni hata AIBU CCM inajifanya imetumwa kuandaa katiba oneni aibu jamani Click to expand... Mkuuuuu nataka nifungue kesi kupinga hili bunge la katiba linaloendelea .. nahitaj msaada wa KISHERIA kidogo tu ..
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Sep 21, 2018 #4 Ulifanikisha kulizuia hilo Bunge ????