kwanza nenda mahakama ya mwanzo ukiwa na cheti cha ndoa na Sababu muhimu za kuvunja lipi pesa ya kufungua kesihaizidi elfu mbili pia omba mgawanyowa mali,matunzo ya watoto kwa kila mwezi na talaka na baada ya mahakamabkujiridhisha kuwapo na ndoa utaambiwa ombi lako limekubaliwa utakuwa mtu kuolewa tena ila kwa waisilamu baada ya kipindi cha EDA na utapewa talaka ndani ya siku arobaini baada ya kesi kuhamuliwa ikiwa na matunzo, na mgawanyo wa mali wasiliana nami 0757001400