Kram Billz
Member
- Dec 1, 2012
- 75
- 60
Habari zenu, natumaini mnaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku. Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu any legal requirements zinazotakiwa kufuatwa na mtu ambaye anataka kufungua biashara ya kuuza french fries katika eneo la Sinza Makaburini.
Asanteni
Asanteni