aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
Wana Jamii,
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa maono ya kutaka kujenga nyumba kwa ajili ya familia yangu. Nimekutana na threads mbili tatu kuhusu ujenzi, lakni nimeona sio haba kuomba ushauri kwa wale waliotangulia katika hili.
Kama mnavyojua, nchi yetu kila mtu anataka kupiga cha juu na hakuna uaminifu kabisa katika mambo mengi. Mimi nina mpango wa kujenga nyumba ya ghorofa ya vyumba vinne, kimoja chini na vitatu juu.
Mpango wa nyumba yangu kwenye ramani ni mzuri kwakweli, na nina hamu sana kuiona inakamillika. Ninachopenda kuuliza; je, kwa kuanza phase one tu kwanza, msingi mpaka kupaua nimeshatenga 20,000,000 tsh, kwa kuanza inatosha?
Kwa mjengo wangu najua itakula zaidi ya hiyo na sio shida kwa hilo, ila napenda kusikia mitazamo ya wengine wanaonaje. Na wale mafundi wasiobabaishaji wanalipwaje. Nitajibu maswali kama mwongozo wa kuweza kupata majibu sahihi kutoka kwenu.
Mafundi mwashi wanalipwaje na wapi naweza kupata matofali au nifyatue mwenyewe?
Kuhusu nyumba, ni vyumba vinne, vitatu juu na kimoja chini. Sebule mbili moja juu na nyingine chini, jiko na store/ laundry area na dining area.
Mawazo yoyote na hata maelekezo nitashukuru.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa maono ya kutaka kujenga nyumba kwa ajili ya familia yangu. Nimekutana na threads mbili tatu kuhusu ujenzi, lakni nimeona sio haba kuomba ushauri kwa wale waliotangulia katika hili.
Kama mnavyojua, nchi yetu kila mtu anataka kupiga cha juu na hakuna uaminifu kabisa katika mambo mengi. Mimi nina mpango wa kujenga nyumba ya ghorofa ya vyumba vinne, kimoja chini na vitatu juu.
Mpango wa nyumba yangu kwenye ramani ni mzuri kwakweli, na nina hamu sana kuiona inakamillika. Ninachopenda kuuliza; je, kwa kuanza phase one tu kwanza, msingi mpaka kupaua nimeshatenga 20,000,000 tsh, kwa kuanza inatosha?
Kwa mjengo wangu najua itakula zaidi ya hiyo na sio shida kwa hilo, ila napenda kusikia mitazamo ya wengine wanaonaje. Na wale mafundi wasiobabaishaji wanalipwaje. Nitajibu maswali kama mwongozo wa kuweza kupata majibu sahihi kutoka kwenu.
Mafundi mwashi wanalipwaje na wapi naweza kupata matofali au nifyatue mwenyewe?
Kuhusu nyumba, ni vyumba vinne, vitatu juu na kimoja chini. Sebule mbili moja juu na nyingine chini, jiko na store/ laundry area na dining area.
Mawazo yoyote na hata maelekezo nitashukuru.