Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
fizi zinaliika, meno yanang'oka. ni ni dawa? najua JF Ina kila mtaalamu
naomba niishie hapo. ninatanguliza shukrani.
naomba niishie hapo. ninatanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona wataalamu bado wako makazini. ninawasubiri mkishajirudisha majumbani.fizi zinaliika, meno yanang'oka. ni ni dawa? najua JF Ina kila mtaalamu
naomba niishie hapo. ninatanguliza shukrani.
Weka picha tukufanyie uangalizi wa tatizo lakosasa ukisema tu bila picha tunafanyaje uangalizi huo ugonjwa imekuaje, weka picha kwanza alafu nikupe majibu nini ufanyefizi zinaliika, meno yanang'oka. ni ni dawa? najua JF Ina kila mtaalamu
naomba niishie hapo. ninatanguliza shukrani.
Nachomshauri aende hospitali..Weka picha tukufanyie uangalizi wa tatizo lakosasa ukisema tu bila picha tunafanyaje uangalizi huo ugonjwa imekuaje, weka picha kwanza alafu nikupe majibu nini ufanye
DR Mambo Jambo
Hapo sawa mkuu huyu ushauri mzuri aende hospital akacheckiwe, na Mimi nakaziaNachomshauri aende hospitali..
Maana unaweza kusema ni Dental Caries Kumbe ni Periodontal D'se..
Au ni scurvy kabisa..
Aende hospitali afanyiwe uchunguzi ili waweze kudadavue
CC: Blood of Jesus
Amina. na pia kinywa kutoa harufu. ni embarrassment kweli kweli!Nenda Hosp dear. Nilivyokuwa sipendi kuumwa 🥹🥹
Jehovah tupe afya njema kila siku.
habari,kuna mtu kapost ktk thread flani kuwa una story inayohusu mambo ya uchawi,naomba unitag ktk thread husika,ubarikiweMimi nilikuwa na tatizo kwenye fizi yaani unakuta zimeachia kwenye meno, ukipiga mswaki au ukila chakula kigumu kidogo zinatoa damu.
Nilienda hospital nikaandikiwa nitumie Ascobic acid hivi ni vidonge vya vitamin C .Baada ya kutumia kwa muda tatizo limeisha kabisa .
Ila hiyo kesi ya meno ungeenda tu hospital inaweza kuwa ishu ya kitaalamu zaidi
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app