P paup Senior Member Joined Aug 24, 2014 Posts 102 Reaction score 58 Jun 2, 2015 #1 habari waungwana nataka kuconcieve,mzunguko wangu ni wa 28 to 29 days,nimeanza mp tar 22 mwezi wa 5 ambayo normal ni 4 days sasa basi mwenye kujua anijuze ni duu tarehe ngapi ili ninase? asanteni.
habari waungwana nataka kuconcieve,mzunguko wangu ni wa 28 to 29 days,nimeanza mp tar 22 mwezi wa 5 ambayo normal ni 4 days sasa basi mwenye kujua anijuze ni duu tarehe ngapi ili ninase? asanteni.
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,120 Reaction score 5,352 Jun 3, 2015 #2 duu kati ya tarehe 3 mwezi wa 6 mpaka tarehe 10 mwezi wa 6,, . . . . . . . . . . . . . . . tangu unapoanza mzunguko,hesabu siku 13,siku ya 14 hapo yai linakuwa limetoka hivyo hicho ni kipindi kizuri kwa kupata mimba.
duu kati ya tarehe 3 mwezi wa 6 mpaka tarehe 10 mwezi wa 6,, . . . . . . . . . . . . . . . tangu unapoanza mzunguko,hesabu siku 13,siku ya 14 hapo yai linakuwa limetoka hivyo hicho ni kipindi kizuri kwa kupata mimba.