Msaada wa kitiba unahitajika wadau!

navigator msomi

Senior Member
Joined
May 8, 2018
Posts
188
Reaction score
224
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,mm nasumbuliwa natatizo moja.miaka kama minne zilizopita nilkua napenda kujing'ata lipsi za midomo hii imepelekea lipsi zangu sehemu moja
 
Pole sana kaka/dada...

Ngoja wataalam waje waokoe jahazi. Wakati unatafuna lips zako ulikuwa husikii maumivu? Ulikuwa hujijui kama unazitafuna au ulikuwa unazitafuna ukiwa ndotoni.

Nataka nipande mlimani kukufanyia maombi
 
Pole sana kaka/dada...

Ngoja wataalam waje waokoe jahazi. Wakati unatafuna lips zako ulikuwa husikii maumivu? Ulikuwa hujijui kama unazitafuna au ulikuwa unazitafuna ukiwa ndotoni.

Nataka nipande mlimani kukufanyia maombi
Hii hali ilikua inanitokea kipind napoku nasoma sasa nilkua najikuta tu naijingata mpaka damu zinatoka,nilkua najarib kuacha lakin nashindwa
 
Hii hali ilikua inanitokea kipind napoku nasoma sasa nilkua najikuta tu naijingata mpaka damu zinatoka,nilkua najarib kuacha lakin nashindwa
Hata Kuku huwa anakula yai lake,si kwa kupenda bali ni kwa sababu ana upungufu wa madini ya calcium mwilini mwake hivyo hula yai kwa lengo la kupata madini yao. Kwa upande wa binadamu sijajua hili suala kama linahusiana na huu mfano wa kuku, kama linashabihiana basi utakuwa na upungufu wa protein (ulaji wa nyama za lips) au chumvi chumvi (ile ladha ya damu ). Jaribu kula vyakula vya protein kwa wingi uone hali itakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…