Habari zenu wana JF natumaini wote humu nfdani ni wazima. Leo nimeona nijitokeze niwaombe msaada wa hali na mali. Mimi nina uhitaji wa kukopeshwa kiasi cha shilingi 1.1milioni kwa riba tutakayokubaliana. Kama kuna mtu aliyeko humu anayeweza kunisaidia anaweza kuni PM. Asanteni na kazi njema.