Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Habari wana jf
Mimi nina tatizo complicated kidogo but hope nitapata ushauri kwenu wadau
tatizo langu lilianza tangu 2014 ambapo nilianza kusumbuliwa na mgongo (yaani nilikuw naskia maumivu makali) tatizo hili lilinisumbua kwa wiki kutoka hapo mgongo ukaacha kuuma na kiuno kuanza kuuma na kuwa kizito.
Pia miguu yote kufa ganzi na mkojo kutoka kila saa (like after every 10min) nimeangaika different hospitals but hakuna msaada pia nilishauriwa kufanya MRI nayo nimefanya but ugonjwa hauonekani hapa nilipo nipo njia panda sijui nini cha kufanya
Hivyo wadau naombeni ushauri na kama kuna doctor yoyote mwenye ufahamu na tatizo hili naomba anisaidia kwasababu nimeshindwa kuendelea na masomo yangu kutokana na tatizo hili
asanteni na karibuni kwa ushauri
Mimi nina tatizo complicated kidogo but hope nitapata ushauri kwenu wadau
tatizo langu lilianza tangu 2014 ambapo nilianza kusumbuliwa na mgongo (yaani nilikuw naskia maumivu makali) tatizo hili lilinisumbua kwa wiki kutoka hapo mgongo ukaacha kuuma na kiuno kuanza kuuma na kuwa kizito.
Pia miguu yote kufa ganzi na mkojo kutoka kila saa (like after every 10min) nimeangaika different hospitals but hakuna msaada pia nilishauriwa kufanya MRI nayo nimefanya but ugonjwa hauonekani hapa nilipo nipo njia panda sijui nini cha kufanya
Hivyo wadau naombeni ushauri na kama kuna doctor yoyote mwenye ufahamu na tatizo hili naomba anisaidia kwasababu nimeshindwa kuendelea na masomo yangu kutokana na tatizo hili
asanteni na karibuni kwa ushauri