nawasalim ndugu wana jf,
Naomba kujuwa sheria ya mapato juu ya mwenye kipato kisichozid 10000 elfu kumi kwa siku kwa mafundi kushona nguo,mafundi tv.mafund pikipiki.mafundi magari,namafundi wa vitu vingine
Kwa sheria iliyopo sasa ya biashara hawa watu wanapaswa kulipa kiasi gani tra?
Maana huku mitaani tra wanawasumbuwa sana hawa mafundi waliojiajili