Wanaojua watakuja kukujibu. Ni swali zuri bila Shaka tutafaidika wengi likijibiwa!Habari
Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety.
Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za hili swala Ila nadhani zile zitakuwa ni short course.
Na vipi kuhusu zile wanatoa OSHA je zinaweza kukubalika ktk soko la ajira.
Shukrani.
Ni kweli anasoma lkn aende mara nyingi Sana ndo ataelewa vzrCheki muhas,ila hakuna diploma wala degree kuna masters tu,
Hizo short kozi za osha hata la saba anasoma.
Hizo short course unaweza kuajiriwa migodini?
Nimefika mkuuNjoeni mtoe majibu. Au humu Hakuna HSE officer's na HSE Technicians?
Cheki muhas,ila hakuna diploma wala degree kuna masters tu,
Hizo short kozi za osha hata la saba anasoma.
Yaani la sana ameze kabisa NOSH II!
So kweli.
Pole kwa kuchelewa kuona, Diploma ya OSHA inatolewa na chuo kimoja tu Tanzania kipo bunju B. Link ya website ya chuoHabari
Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety.
Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za hili swala Ila nadhani zile zitakuwa ni short course.
Na vipi kuhusu zile wanatoa OSHA je zinaweza kukubalika ktk soko la ajira.
Shukrani.
Pole kwa kuchelewa kuona, Diploma ya OSHA inatolewa na chuo kimoja tu Tanzania kipo bunju B. Link ya website ya chuoHabari
Moja kwa moja niende kwenye mada. Naomba kujua Kuna chuo gani hapa Tanzania kinachotoa diploma /degree katika kozi ya Occupational Health and Safety.
Nimeona OSHA wanatoa kozi mbalimbali za hili swala Ila nadhani zile zitakuwa ni short course.
Na vipi kuhusu zile wanatoa OSHA je zinaweza kukubalika ktk soko la ajira.
Shukrani.
Kozi hii halmashauri unaajiriwa kama na ,idara ya mazingira au ya idara ya Afya.Pole kwa kuchelewa kuona, Diploma ya OSHA inatolewa na chuo kimoja tu Tanzania kipo bunju B. Link ya website ya chuo
Institute of Environment, Climate and Development Sustainability
www.ieds.or.tz
Pole kwa kuchelewa kuona, Diploma ya OSHA inatolewa na chuo kimoja tu Tanzania kipo bunju B. Link ya website ya chuo
Institute of Environment, Climate and Development Sustainability
www.ieds.or.tz
Hakuna vigezo vingine vya kuajiliwa ukiwa na hvyo chet NOSHC1 na NOSHC 2?Course za OSHA ni muhimu mfano ukisoma NOSHC 1 na 2 ni rahis kuajjriwa migodini , viwandani nk
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Ada zake zikojeCourse za OSHA ni muhimu mfano ukisoma NOSHC 1 na 2 ni rahis kuajjriwa migodini , viwandani nk
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app