Msaada wa kozI ZA MINING AU PHARMACY

Msaada wa kozI ZA MINING AU PHARMACY

CompaQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2012
Posts
281
Reaction score
134
Habari,
wana jf
nilikuwa naomba msaada wa mawazo kuhusu kozi hizi hapa
nataka ku APPLY kwa mujibu wa soko la AJIRA je nijaze kozi ipi ambayo itaendana na hali halisi

1.Diploma in Mineral Exploration in Mining Geology
2.Diploma in Mining Engineering
3.Diploma in Petroleum Technology
4.Diploma in Pharmacy

KOZI HIZI ZINATOLEWA NA UDOM
Nitashukuru kwa Mawazo yenu.
 
kwa ulahisi wa kupata ajira chukua diploma ya pharmacy.
hizo kozi zingine nazo ni nzuri sana,lakini kama tunaangali uwezekano wa kupata ajira,kwa pharmacy inakuwa rahisi zaidi.
nb pharmacy unaweza kujiajili kwa urahisi zaidi,hizo kozi zaidi ni ngumu sana
 
kwa ulahisi wa kupata ajira chukua diploma ya pharmacy.
hizo kozi zingine nazo ni nzuri sana,lakini kama tunaangali uwezekano wa kupata ajira,kwa pharmacy inakuwa rahisi zaidi.
nb pharmacy unaweza kujiajili kwa urahisi zaidi,hizo kozi zaidi ni ngumu sana

#moes unaposema "hizo kozi zaidi ni ngumu sana" unamaanisha nini???
 
#moes unaposema "hizo kozi zaidi ni ngumu sana" unamaanisha nini???

namaanisha ni ngumu kujiajili wewe mwenyewe kwa mining ukiringanisha na pharmacy.
kumbuka kwenye mada yako umepoint wazi kabisa suala la urahisi wa kupata ajila,kwangu nasema pharmacy ni rahisi kuajiliwa fulsa za mzawa kuajiliwa kwa pharmacy ni kubwa sana kuliganisha na mining.
pia mining industry nyingi/gas/fuel,zimechukuliwa na wageni ambao waajiliwa wengi wanawatoa nje ya nchi,
kama kungekuwa na sheria nzuri za kulinda/kutetea wazawa wapate ajira za kutosha kwenye mining/gas ingekuwa faraja sana.
ata wazawa wanaobahatika kuajiliwa uko(mining) mishahara yao ni midogo kulinganisha na waajiliwa toka nje ya nchi ata kama wote wana elimu inayolingana+experience.
lakini usipuuzie kitu rohoo yako inapenda kusomea
 
namaanisha ni ngumu kujiajili wewe mwenyewe kwa mining ukiringanisha na pharmacy.
kumbuka kwenye mada mleta mada amepoint wazi kabisa suala la urahisi wa kupata ajila,kwangu nasema pharmacy ni rahisi kuajiliwa fulsa za mzawa kuajiliwa kwa pharmacy ni kubwa sana kuliganisha na mining.
pia mining industry nyingi/gas/fuel,zimechukuliwa na wageni ambao waajiliwa wengi wanawatoa nje ya nchi,
kama kungekuwa na sheria nzuri za kulinda/kutetea wazawa wapate ajira za kutosha kwenye mining/gas ingekuwa faraja sana.
ata wazawa wanaobahatika kuajiliwa uko(mining) mishahara yao ni midogo kulinganisha na waajiliwa toka nje ya nchi ata kama wote wana elimu inayolingana+experience.
lakini usipuuzie kitu rohoo yako inapenda kusomea
,unaposomea kitu unachopenda inakuwa kitu bora zaidi.
 
namaanisha ni ngumu kujiajili wewe mwenyewe kwa mining ukiringanisha na pharmacy.
kumbuka kwenye mada yako umepoint wazi kabisa suala la urahisi wa kupata ajila,kwangu nasema pharmacy ni rahisi kuajiliwa fulsa za mzawa kuajiliwa kwa pharmacy ni kubwa sana kuliganisha na mining.
pia mining industry nyingi/gas/fuel,zimechukuliwa na wageni ambao waajiliwa wengi wanawatoa nje ya nchi,
kama kungekuwa na sheria nzuri za kulinda/kutetea wazawa wapate ajira za kutosha kwenye mining/gas ingekuwa faraja sana.
ata wazawa wanaobahatika kuajiliwa uko(mining) mishahara yao ni midogo kulinganisha na waajiliwa toka nje ya nchi ata kama wote wana elimu inayolingana+experience.
lakini usipuuzie kitu rohoo yako inapenda kusomea
moes hapo umesomeka lakini tukiangalia upande wa ajira mimi nahisi petroleum iko poa zaidi coz ni kitu kipya nchini,it means opportunities ni nyingi na specialist ni wachache mno..japo kujiajiri katika hii fani ni ngumu kidogo lakini ajira zake zna mkwanja wa kutosha coz ni field ambayo iko very unique and delicate..
 
Last edited by a moderator:
moes hapo umesomeka lakini tukiangalia upande wa ajira mimi nahisi petroleum iko poa zaidi coz ni kitu kipya nchini,it means opportunities ni nyingi na specialist ni wachache mno..japo kujiajiri katika hii fani ni ngumu kidogo lakini ajira zake zna mkwanja wa kutosha coz ni field ambayo iko very unique and delicate..

ndugu nchi hii ni ngumu,theoreticaly kitu unachofikilia ni sawa lakini practicaly ni ngumu,opportunity ni nyingi sana lakini wawekezaji wataajiri expert wengi toka nje ya nchi(hakuna sheria ya kuwazuia kufanya hivyo)
wakati wa madini yanaanza kuchimbwa wengi walifurahi sana kwamba kutakuwa opportunity za kumwanga kwenye industry ya mining tena zenye mishahara minono,mwazoni wawekezaji walionekana kujali wazawa lakini kilichofata ni maumivu tupu,ndio yatakayotokea kwenye gases.

Nyerere alitaka tujiandae kwanza ata miaka 50,kwa kusomesha watalaamu wetu wenyewe pamoja na technology ya uchimbaji ndipo tuanze kuchimba wenyewe ili wazaw wafaidi zaidi.

simaanishi ya kwamba uwekezaji ni mbaya shida ni apa tz sera za uwekezaji ni mbovu isivyo na mfano.
nazani umeona marais wakubwa wakitua apa bongo,siyo kwamba wanakuja kutarii,ni kwa sababu kuna asali tamu apa tz,ikiwamo gas a super profit bussiness.
 
Back
Top Bottom