Msaada wa Ku-log in JF kwa simu

Maamuma

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2008
Posts
848
Reaction score
306
Wapendwa, nimekuwa niki-log in JF kwa kutumia simu yangu Nokia 6233 lakini kwa wiki 3 sasa siwezi kulog in. Ile link ya kulog in hainipi ruhusa ya kufanya hivyo. Au kuna kitu natakiwa kufanya? Naomba msaada maana simu ndo ninayo saa zote, computer mpaka niombe kwa jirani hadi nnakuwa kero.
 
Nakushauri nunua Apple I phone, Hutahangaika tena kwenye Laptop au Computer !!
 
Mkuu Chimunguru asante sana. Ndio niko voda. Nimejaribu ku-download, ikakubali na ikasave, lakini ninapotaka kuifungua inasema "error" katika ku-connect na internet. Ntaendelea kujaribu. Again, thanks.
 
Mkuu Tongue blister, nashukuru kwa ushauri. Ila Mkuu kwangu ni ngumu kidogo, niko kijijini yaani kupata habari za mjini naitegemea sana JF. Kwa vitu kama Apple I ni ndoto. Maduka yetu nadhani unayajua, hayana vitu vya kisasa. Labda niagize jamaa walioko mjini. Inauzwa bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…